ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, June 19, 2014

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Bilal, atembelea Dubai Sports City

Kulia mwa Makamu wa Rais, ni Bwana Mohamed Sharif, Mtanzania ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Dubai Sports City. Kulia mwa picha ni Balozi Mbarouk, na kushoto mwa picha ni Balozi Mdogo Omar Mjenga.

No comments: