ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, June 7, 2014

TANGAZO MAALUM

Kamati ya Uchaguzi wa viongozi wa jumuiya ya Watanzania DMV inapenda kuwakumbusha wanajumuiya kuwa leo June 6, 2014 saa sita usiku ndiyo mwisho wa kurudisha fomu kwa wale wanaotaka kugombea uongozi katika Jumuiya.

Kamati hii inawataka kuwakumbusha utaratibu wa kupiga kura kama ulivyotangazwa kwa mujibu wa katiba:
1)   Kamati itatangaza majina ya wagombea waliowapitisha na wagombea hao kuanza kampeni.
2)   Tarehe ya uchaguzi ni juni 21 na kama kutakuwa na mabadiliko tutawatangazia.
3)   Wanajumuiya walioa hai tu ndiyo wataruhusiwa kupiga kura;
Tunaomba uje na kitambulisho au aina yoyote ya ID ili uweze kutambulika kama mpiga kura halali. 

No comments: