ANGALIA LIVE NEWS

Monday, June 23, 2014

TASWIRA YA PICHA ZA BBQ ZA KUWAPONGEZA RAPHAEL NA JOY ILIYOFANYIKA ROOSEVELT ISLAND

Raphael Faida na Joy wakiachia smile za kisomi somi siku ya BBQ ya kuwapengeza iliyofanika Roosevelt Island. NY.
Gaston kulia akipata ukodak na wasomi 
Ukodak ukiendelea kama unavyoona 
Raphael Faida akitoa shukrani kwa watu waliojitokeza katika BBQ hiyo. Raphael pia ni mweka hazina kijana wa NYTC aliegraduate na kupata Masters.
Joy nae akiongea machache kwenye BBQ hiyo  kwa kutanguliza shukrani zake.
Raphael kushoto akipata ukodak na Dr Temba, Seif Akida kada wa CCM NY na Mhella katibu wa NYTC. Kwa Taswira zaidi nenda soma zaidi.


1 comment:

Anicetus said...

Congratulations Raphael and Mkapa: Next, go to the last step: Ph.D