Advertisements

Thursday, July 17, 2014

NDEGE NYINGINE YA MALAYSIA YAANGUKA LEO, ILIKUA IKISAFIRI TOKA AMSTERDAM KUELEKEA KUALA LUMPUR ABIRIA 295 WANAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA

Ndege nyingine ya Malaysia flight namba MH 17 imeanguka leo Alhamisi July 17, 2014 baada ya kutunguliwa na kombora kwenye mpaka wa Urusi mashariki ya UKraine ikiwa na abiria 295 waliokua wakisafiri toka Amsterdam, Uholaanzi kuelekea Kuala Lumpur, Malaysia.

Waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine alinakiliwa alichoandika kwenye ukurasa wake wa facebook leo kwamba ndege hiyo ya abiria ya Malaysia iliyokua ikiruka umbali atitudi futi 33, 000  mashariki ya Ukraine na kupigwa na kuanguka karibu na mji wa Donetsk.

Ndege hiyo iliyokua imeondoka Amsterdam 6:15 usiku kwa saa za Uholanzi na kutarajiwa kutua Kuala Lumpur leo saa 12;10 asubuhi kwa saa za Malaysia. 

1 comment:

Anonymous said...

The US has been looking to use any excuse they can to retaliate against Russia after the pro-Russian Ukranian militia didn't back down during.

The fracturing of the co-Ukraine could not have launched the missile because the separatists in Donetst region do not have planes! Why launch the missile then!? Whom to shoot? Russian separatists, on the other hand, shot few Ukrainian planes in a row.

The US goes to any country they please, declaring themselves world police and bombing everything in its way, all in the name of "freedom". Have you ever seen before/after pictures of Afghanistan or Iraq? Look it up. Let alone Vietnam.

Also look up the list of countries the US has been at war with for the last 100 years. The US is a nation of war. It's economy thrives on the deaths of people all around the world. It has more military bases in the world than any other country. How are you suggest Russia is an aggressor.

it was already planned in 2009. Of course US will say it's Russia or pro Russians even when they don't have any evidence yet. But who's support does Ukrainian military gets? Who benefits from it? Who's the boss in Ukrainian gas company?

Ask Obama how low, it all part of the plan to start a war with Russia, but they want Russia to start it. They are messing in ukraine, Syria, Palestine, whats next? Cuba? are they going to fuck with Cuba too?.

Why are Americans obsessed with Russia? Is it because they did a deal with China to belittle the dollar, in favour of their own monitory system? Americans time is coming to an end, and they don't want that!