
Mwanariadha huyo alikuwa katika klabu moja alipojikuta katika hali ya majibizano makali na mfanyabiashara mmoja aliyekuwa amemuuliza kuhusu kesi anayokabiliwa nayo.
Mfanyabiashara huyo Jared Mortimer anayedaiwa kumshambulia Oscar kwa maneno akimuuliza kuhusu kesi yake, anasema kuwa Pistorius alikuwa mlevi chakari wakati wa majibizano hayo.
Sarakasi hiyo ilitokea katika klabu ya kifahari mjini Sandton kufuatia madai kuwa Pistorius aliwatusi marafiki wa Jared Mortimer pamoja na kuitusi familia ya Rais wa Afrika Kusini Jaocb Zuma.
BBC
No comments:
Post a Comment