ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, August 2, 2014

AJALI YA BASI LA HOOD WATANO WAPOTEZA MAISHA

Muonekano wa basi la Hood kwenda Mbeya baada ya kugongana na Hiace eneo la Kilala, Arusha asubuhi ya leo.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Wananchi wakiwa wamekusanyika baada ya basi la Hood kwenda Mbeya kugongana na Hiace eneo la Kilala, Arusha.
Muonekano wa Hiace hiyo kwa mbele baada ya ajali.
Watu 5 wamekufa baada ya basi la Hood kwenda Mbeya kugongana na Hiace eneo la Kilala, Arusha asubuhi ya leo, wengi wajeruhiwa.

(Picha na Global WhatsApp + 255 753 715 779/ Arusha)

No comments: