Advertisements

Saturday, August 30, 2014

DUAL CITIZENSHIP OR DUAL NATIONALITY PRACTICAL TIP


Dual citizenship or dual nationality is simply being a citizen of two countries. The United States allows dual citizenship. For example, if you were born in Mexico you are a native-born Mexican. If you move to the United States and become a naturalized US citizen, you now have dual citizenship. Dual citizens can carry two passports and essentially live, work, and travel freely within their native and naturalized countries.
Some dual citizens also enjoy the privilege of voting in both countries, owning property in both countries, and having government health care in both countries.
Dual citizenship is becoming more common in our increasingly interconnected, global economy. Many countries are now seeing the advantages of dual citizenship and are liberalizing their citizenship laws (India, the Phillippines, and Mexico are recent examples). Dual citizenship has the advantages of broadening a country’s economic base by promoting trade and investment between the dual citizen’s two respective countries.
Some countries do not allow dual citizenship. For example, if you were born South Korea and become a US citizen, you will most likely lose your Korean citizenship if the Korean government finds out about it. But an increasing number of these countries that prohibit dual citizenship are not enforcing their laws regarding dual citizenship. So, you may informally have dual citizenship if your native country does not take away your citizenship after you become a US citizen.

3 comments:

Anonymous said...

wazanzibari mbona wanao uraia pacha na kwa nini tunagombania uraia pacha wa nchi mbili tu kwa nini kusiwe na quad-triple kwa sababu wengi wetu tumekalia kidunia zaidi.

Watu wanaacha kujadili hoja ya msingi wanakwenda kujadili details za hoja kwanza? Huu sijue ni ulimbukeni wa design gani. Urai pacha utatishia usalama, usalama gani, elezeni usalama gani, Rais hata lindwa au jeshi hakuna? Au usalama wa nchi ni matumbo yao? Eti watu watahujumu. Kuhujumu nini nchi hii, wakati wahujumu namba moja wa ni hao hao viongozi pamoja na sheria mbovu za nchi ambazo hawataki kuzibadili. Hivi hawa jamaa akili za kufikiri wanatoa wapi? Wasomi wote mashuhuri na wenye sifa wamesomeshwa nchi za nje, elimu yetu, sheria zetu, kila kitu ni copy and paste, sasa unategemea nini.

Dodoma kuna mtu mwenye akili?

Tanzania bara itakuwa ya mwisho katika hili la urai pacha katika afrika nzima kwani zimesalia nchi nane tu la kujiuliza nchi zote hizo zilizojisajili katika uraia pacha wao hawajali usalama wa nchi zao? au hawana uzalendo hata hao warusi na wachina ambao ndio tuliowafuata katika ukomunisti wameamua na kuona hili lina manufaa kwa nchi zao lakini sisi mmhhhmmhh bado tunawasha mwenge na kuukimbiza nchi nzima unategemea nini hapo.

nawakilisha tuuuu

Anonymous said...

To be fair, wengine hata uraia pacha usingetutosha, kwani tupo kidunia zaidi, labda wangetupa quadruple-quintuple citizenship.

Au uraia wa Umoja wa Mataifa tu.

sijui watanzania ni watu wa aina gani, alikuja kikwete hapa DC miezi michache iliyopita akasema uraia pacha haujapigiwa kelele za kutosha na upinzani hawautaki, mimi nkawa nawaambia watu kikwete muongo, watu oho hujui, huna adabu, sasa hapa tunaona wapinzani ndo hawautaki au ccm, mimi naona mitanzania hasa inayoishi DMV isipewe maana hata kufuatilia mambo ya tz kwa undani hayafuatili, ni kufuata upepo tu na yakidanganywa kidogo yanafurahia, nimeangaika sana kuwaeleza hali halisi maana mm sikutoka bongo mda mrefu lakini hayaelewi, kikwete akija yanamchekea tu na kumsifu sifu bila mpango yakidhani atawapa uraia wa nchi mbili kumbe hawajua anageuka geuka kama kinyonga.
Na pia kwa muktadha huo lile dawati la DIASPORA pale wizara ya mambo ya nje walifute, maana diaspora ni akina nani kama hawatambuliki..?! Zile hela za kuendesha dawati(kitengo) zipelekwe zikasaidie miradi ya maendeleo na tuache siasa za kudanganyana na unafki.
Mimi nlishasema na nawaambia watanzania kama unaishi nje amua moja tu unaikacha tz unachukua uraia wa nchi nyingine unapiga kazi, unajisaidia wewe na jamii yako nyumbani maisha yanaenda ila kuwategemea akina kikwete, membe, wasira, lukuvi, nape na ccm eti waje wakupe uraia wa nchi mbili nk ni kupoteza muda na akili ya kutafuta maendeleo yako.
Na jumuia za watanzania zilizoko nje sasa zitarudi kwenye malengo ya kuanzishwa kwao, na kuacha kujipendekeza kwa viongozi kusikokuwa na sababu, kiongozi aheshimiwe tu lakini sio kujipendekeza kwake kusikokuwa na msingi nadhani sasa mmeona.

Anonymous said...

Jamani tujipange tujiandae kwenda bungeni kuwaeleza kwa mifanoa halisi labda wataelewa...Kdiri peke yake wamemwonea...