ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, August 27, 2014

HASHEEM THABEET AUZWA PHILADELPHIA 76ERS-GPL

STAA wa mpira wa kikapu wa Ligi ya NBA ya Marekani, Mtanzania Hasheem Thabeet ameuzwa na klabu yake ya Oklahoma City Thunder kwenda Philadelphia 76ers.

Uhamisho huo umefanyika jana Jumanne japo kuna madai kuwa staa huyo huenda asikae sana katika timu hiyo na kwamba atauzwa hivi karibuni.

5 comments:

Anonymous said...

What is next for this dude!!, He has been advised so many times to work hard, lakini bata kwenda mbele.. WHATs Next??

Anonymous said...

OKC is the best place for young athletes to learn and develop their skills. If he was released from there, I believe game is over. Philly doesn't babysit slow learners of his age. Wishing him all the best.

Anonymous said...

Does anyone see something wrong here? Ameuzwa? People selling people? What does this remind you guys?

Anonymous said...

What are u doing for a living,kuchonga mdomo halafu kazi ya $10/hr

Anonymous said...

Are u his agent?to say the least.what's your carrier?yeye amethubutu,his name is in the records,what's ur name so I can google.