Mkuu wa kikosi cha UNAMID Luteni Jenerali Paul Mella. |
Kwa mujibu wa Ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika huko Darfur, UNAMID umesema hilo ni kundi la kwanza kutoka takribani askari 2700 ambao hatimaye watajiunga na jeshi la kawaida.
Kufuatia hatua hiyo Joseph Msami wa idhaa hii amezungumza na Mkuu wa vikosi vya UNAMID Luteni Jenerali Paul Mella na kwanza amenza kumuuliza wamepokeaje hatua hiyo.
(SAUTI MAHOJIANO)
Kusikiliza bofya hapa
No comments:
Post a Comment