ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, October 15, 2014

KAMATI KUU CHADEMA YAKUTANA NA WENYE NIA KUGOMBEA UBUNGE 2015, PROF JAY NDANI YA KIKAO


Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Freeman Mbowe akiingia katika ukumbi wa mkutano wakati wa Kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho kilipokutana na Wanachama waliotia nia ya kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2015.
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara, Salum Mwalimu.
Salum Mwalim akifafanua jambo wakati wa Kikao hicho.
Viongozi Wakuu wa Chadema wakiomba dua kabla ya kuanza Kikao.
Mwanamuziki wa kizazi kimpya Prof. J akiwa ni miongoni mwa watia nia.
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara, John Mnyika akizungumza katika kikao hicho.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Zanzibar, Said Issa Mohamed akizungumza katika Kikao hicho.
Prof. Abdalah Safari.
Dk. Slaa
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.
Baadhi ya wanachama waliotia nia ya kugombea katika majimbo mbalimbali ya Uchaguzi wakati wa Uchaguzi Mkuu.
Wanachama wa Chadema.

Wanachama wakisikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema.

Baadhi ya viongozi wa Chadema.
Joseph Haule 'Prof. J' akiwa katika Kikao cha Kamati Kuu ya Chadema.
Habari Mseto.

No comments: