Advertisements

Friday, October 17, 2014

MHE. JAMES MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO

Mh. James Mbatia akifanya sala mbele ya Makaburi ya Wazazi wake alipotembelea nyumbani kwao.
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mbunge wa Kuteuliwa Mhe.James Mbatia akiwa na viongozi wa Chama hicho mkoa wa Kilimanjaro wakati alipotembelea eneo hilo.

No comments: