ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, November 30, 2014

BIRTHDAY BASH YA DJ SEIF SAFARI CLUB NI SHEEEDAH

 Wadau mbalimbali wakipata picha na Birthday Boy Dj Seif kwenye bash ya siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika siku ya Jumamosi Novemba 29,2014 ndani ya kiota cha maraha na burudani ya kumwaga Safari Club iliyopo Washington, DC.
Wadau mbalimbali wakipata picha na Birthday Boy Dj Seif ndani ya kiota cha Safari club siku ya Jumamosi kwenye bash ya siku yake ya kuzaliwa.
Aminata (kati) na Melisa wakipata picha ya pamoja na Birthday Boy Dj Seif
Rehema  akipata picha na Birthday Boy Dj Seif.
Julius Manase akiwa na mdhamini wa pendo lake wakipata picha ya pamoja walipokuwepo wakiwakilisha kwenye Birthday Bash ya Dj Seif.
Birthday Boy akipata picha na wadau
Picha na Aloyce Mbullu mwakilishi wa Vijimambo Maryland.
 Kutoka kushoto ni Halima, Aminata na Melika wakipata picha ya pamoja na Di Seif
kwa picha zaidi bofya soma zaidi




No comments: