Advertisements

Friday, November 28, 2014

MIAKA MITANO YA MAX MALIPO



Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Kitanzania ya MaxCom Africa, inayotoa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu na Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula wakikata utepe kuzindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo, katika hafla iliyokutanisha uongozi wa kampuni hiyo ya Jukwaa la Wahariri, leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. 
Mkurugnezi Mtendaji wa MaxCom Africa, watoaji wa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu akizindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo itakavyokuwa sasa kwenye ofisi za mawaakala wake.
Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Max Com Africa, watoaji huduma za Max Malipo, Juma Rajabu akimkabidhi mfano wa hundi ya sh. milioni 10, kwa Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula, kuashiria kampuni hiyo kutoa kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya ujenzi wa maabara katika shule zilizomo katika Manispaa hiyo, wakati wa hafla ya kampuni hiyo kutimiza miaka mitano ambapo uongozi ulikutana na wadau wakiwemo Jukwaa la Wahariri katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, leo
Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Max Com Africa, watoaji huduma za Max Malipo, Juma Rajabu akimkabidhi mfano wa hundi ya sh. milioni 10, kwa Mwakilishi wa Manispaa ya Ilala Mashauri Saidii, kuashiria kampuni hiyo kutoa kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya ujenzi wa maabara katika shule zilizomo katika Manispaa hiyo, wakati wa hafla ya kampuni hiyo kutimiza miaka mitano ambapo uongozi ulikutana na wadau wakiwemo Jukwaa la Wahariri katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, leo
Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya MaxCom Africa, Juma Rajabu akishikana mkono na Katibu wa Jukwaa la Wahariri Nevile Meena baada ya kutangaza kulichangia Jukwaa hilo sh. milioni 5
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya MaxCom Africa, Juma Rajabu (wapili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wadau mwishoni mwa mazungumzo yaliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, leo. Watatu kushoto ni Katibu wa Jukwaa la Wahariri Nevile Meena
Mkurugnezi Mtendaji wa MaxCom Africa, Juma Rajabu akizungumza na wahariri Serena hotel 
Ofisa Mkuu wa Operesheni, wa Maxcom Africa, Ahmed Rusasi akieleza huduma za Max Malipo zitolewazo na kampuni hiyo, wakati wa kikao hicho na wadau katika hoteli ya Serena jijini DSar es Salaam, leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa MaxCom Afrika akiwa ameketi meza kuu na wadau
Baadhi ya viongozi wa Maxcom Afrika katika hafla hiyo
Wadau kutoka Jukwaa la Wahariri
Wadau kutoka Jukwaa la Wahariri 
Wadau kutoika jukwaa la wahariri
Baadhi ya waalikwa kutoka Jukwaa la wahariri wakipata chakula cha mchana ambacho kilitoplewa kwa wote katika hotelo ya Serena jijini Dar es Salaam, baada ya uongozi wa MaxCom Afrika kumaliza mazungumzo yao na wadau katika kuadhimisha miaka mitano ya kampuni hiyo. Picha zote na Bashir Nkoromo-theNkoromo Blog

No comments: