Advertisements

Monday, December 8, 2014

ACACIA YAFANYA BONANZA KAMAMBE LA KIFAMILIA DAR


Mtoto huyu wa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia, akichapa maji wakati wa kuogelea ikiwa ni sehemu ya furaha ya wafanyakazi na familia zao kujumuika pamoja kwenye ufukwe wa Azura jijini Dar es Salaam, Jumamosi jioni. Katika sherehe hiyo, watoto na familia zao walipata fursa ya kushiriki michezo tofauti tofauti, kama vile mbio za kufukuza kuku, wanaume kukuna nazi, kuvuta kamba, soka la beach, netiboli au kwa kikwetu, mpira wa pete, Voliboli na pool table. Hali kadhalika, sherehe ilipambwa na ulaji wa vyakula kila aina, vinywaji na watoto kupata fursa ya kupewa zawadi na Santa . Sherehe hiyo kamambe, ilihitimishwa kwa dansi la kukata na mundu
Watoto kuchora uso
Meneja wa Biashara wa kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia, ambaye alikuwa kama Santa akiwa amembeba mtoto kwa picha
Picha na Santa
Wanandoa na mtoto wao
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Baba na mwana
Mama akihakikisha kila kitu kinakwenda sawa
Mama na mwana
Kupgelea "time"
Soka la ufukweni
Na mimi wamo; Meneja wa Biashara wa kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia, Jason Watson, akionyesha namna ya kusakata dinga
Wachezaji wa soka wa Acacia kutoka vitengo tofauti wakipepetana kwenye soka la ufukweni
Kama Mesi vile!
"Fundi" wa kuogelea
Watoto wakiogelea kwenye Swimming pool
Wana netiboli katika picha ya pamoja
Al-Amani nae msuli upo
Voliboli pia ilichezwa
Mwanaume akikuna nazi, ni katika kuvunja mbavu tu
Picha ya familia
Kamati ya maandalizi katika picha na viongozi
Mwana dada akilenga shimo kwenye mchezo wa Pool table
Braza, akionyesha jinsi pool table inavyochezwa, kama "Chess vile"
Mshindi wa mbio za kuku kwa wanawake
Mshindi mwingine wa mbio za kuku kwa wanawake
Meneja mawasiliano na uhusiano wa kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia, Necta Pendaeli Foya, "akitunisha msuli", katika mchezo wa kuvuta kamba, ambao hata hiyo timu yake ilishindwa kwa taabu
Wakati wa maakul
Meneja ustawi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia, Assah Mwaipopo, akitoa neno la shukurani kwa wafanyakazi na familia zao

No comments: