
Mh:Mwigulu Nchemba akiwaisli viwanja vyaMkutano Karatu Mjini.
Naibu
Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa
karatu Mjini mapema hii leo asubuhi majira ya saa tatu wakati
akisisitiza kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa Kufanyika
tar.14.12.2014.
Mwigulu akimtambulisha Mwanachama mpya wa CCM ambaye alikuwa katibu wa CHADEMA Wilaya ya karatu ndugu.Raulenti Bonta.
Kadi
na baadhi za Vifaa vya CHADEMA ambavyo vimerudishwa hii leo kwa mwigulu
Nchemba baada ya Wananchama zaidi ya 17 kuhamia CCM Karatu Mjini.
Ndugu Raulenti Bonta ambaye ameikacha CHADEMA na kuhamia CCM akiwapungua mkono Wananchi wa karatu.
Aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Karatu Mjini akivalia Vazi la Chama cha mapinduzi kuashiria kuwa yeye ni CCM Dam Dam.
Mkutano Ukiendelea Mwananchama Mpya aliyeikacha Chadema akisalimiana na Mh:mwigulu Nchemba.
Mwigulu
akisisitiza kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni nguzo ya Kusimamia
maendeleo ya Halmashauri zetu.Hivyo wachaguliwe viongozi wenye uwezo wa
kusimamia maswala ya Umma.
CCM Oyeeee
Mwigulu "CCM haipo tayari kuela Mafisadi,yeyote anayehujumu Nchi nilazima achukuliwe hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine.
Mwigulu
akisisitiza kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni nguzo ya Kusimamia
maendeleo ya Halmashauri zetu.Hivyo wachaguliwe viongozi wenye uwezo wa
kusimamia maswala ya Umma.
CCM Oyeeee
Mwigulu "CCM haipo tayari kuela Mafisadi,yeyote anayehujumu Nchi nilazima achukuliwe hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine.

1 comment:
Mheshimiwa Mwigilu, Tulidhani ukiwa kama naibu wa wizara ya FEDHA swala muhimu kwako na waTanzania wote wakuelewe ungeweka kipaumbele kutetea fedha za waTanzania zilizogawiwa kiaina kutoka account ya ESCROW ili zirudishwe! pamoja na kwamba swala liko uchunguzini sidhani kama huu ni wakatai wa kutetea sana chama chako cha CCM kwani wanaonekana viongozi wake ni walaghai na wezi sasa unaonekana kuwaunga mkono ili hadhithi yote iweze kuyeyuka!! Changa la macho hili kwa waTANZANIA!! Where are we heading to??? fedha kwanza siasa baadae!
Post a Comment