Advertisements

Thursday, December 18, 2014

MAC NAMARA WA GAZETI LA MWANANCHI AFUNGA NDOA MORO

Waandishi wa Gazeti za Mwananchi Mac Namara Ng'ambi na Bi Ester Mwimbura kufunga pingu za maisha katika kanisa la Anglikana lililopo pande za kihonda Mkoani Morogoro
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Paparazi wa Mtandao wa Global Publisher Dustan Shekidele akiwa kazini kwenye haursi hiyo.
Wakikata kike yao ya harusi
Bi,Harusi akipeleka zawadi kwa wakwe zake kwa staili ya kupiga magoti
Kipengele kilichokuwa kikisubiriwa na wengi'Menyu'
Waandishi wa habari wakiongozwa na Ramadhani Libenanga'Kutty Fella'mwenye shati la Mistari kulisakata Twisti.
Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi Lilian Lucas'Kasenene'akiwasilisha zawadi yake ya waksi
Mstahiki Meya wa Mji wa Morogoro Mhe Amir Juma Nondo akiwapa mkono wa pongeza maharusi hao.
Wakiga baada ya kukamilika kwa harusi hiyo
Mwandishi wa habari Gazeti la Nipashe Ashtoni Balaingwa na mkewe ndio waliobeba jukumu la kuwasimamia maharusi hao kwenye ndoa yao.
Baada ya kufunga ndoa hiyo mpango mzima ulihamia ndani ya Ukumbi wa Mambo klabu ambapo kulifanyika sherehe ya kufa mtu kwa Mstahiki Meya wa Mji wa Morogoro Amir Juma Nondo kuwaongoza wageni waarikwa wengi wao wakiwa waandishi wa habari na familia zao pamoja na wadau wa tasnia ya habari mkoa wa Morogoro kura,kunywa na kucheza muziki katika sherehe hiyo iliyofanya.

No comments: