ANGALIA LIVE NEWS

Friday, December 12, 2014

WAZAZI WA MISS TANZANIA 2O13 WAELEKEA LONDON KUMPA SAOTI MTOTO WAO


 Wazazi wa Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa  Akiongozwa na Baba yake wa Tatu Kutoka Kushoto Pamoja na Mama yake wa Tatu Kutoka Kulia WakiwaWameambatana na Wadogo wa Miss Tanzania 2O13 Pamoja na Marafiki Wengine Wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Katika Hatua za Mwisho Kabla ya Kusafiri Mchana wa Leo Kuelekea Jijini London Kwenye Kilele cha  Mashindano ya Miss World 2O14 Yakakayohitimishwa Tarehe 14.12.2O14  Ambapo Mtoto wao Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa Anaiwakilisha Tanzania.
 Wazazi Hao wa  Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa  Wamewaomba  Watanzania Kumwombea NA Kuendelea Kumpigia Kura Miss Tanzania 2O13 Katika Mashindano Hayo Ili Aweze Kuiwakilisha Tanzania Vema na Kuibuka Mshindi.Ikumbukwe Mpaka Juzi Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa Kura za Watanzania Zilimuwezesha Kuingia Kumi Bora.
Ingia humu kufata maelezo ya Namna ya kumpigia kura…..
Bofya Link Hii http://www.missworld.com/TheCompetition/TheMissW

No comments: