Advertisements

Thursday, January 8, 2015

JK AMUAPISHA MSAJILI MAHAKAMA YA RUFANI TANZANIA, NI KATARINA REVOCATI

Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha, Katarina Revocati (Kulia), kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Alhamisi Januari 8, 2015
Rais akimkabidhi Katiba
Rais akimpongeza
Majaji wakibadilishana mawazo
Majaji wakibadilishana mawazo
Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman (Kulia), akizungumza na Waziri wa Sheria na Katiba, Dkt. Asha Rose Migiro wakatiwa hafla hiyo ya kumuapisha Katarina
Rais akisalimianana Jaji Mkuu Mohammed Chande Othman
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi maalum), Profesa Mark Mwandosya, (Wapili kushoto), akiwa na majaji kwenye hafla hiyo
picha ya pamoja
Rais na familia ya Katarina Revocati
Rais katika picha ya pamoja kutoka kushoto, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, Jaji Mkuu, Mohammed Chande Othman, Msajili wa Mahakama ya Rufani, Katarina Revocati, Waziri wa Sheria na Katiba, Dkt. Asha Rose Migiro, na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju

No comments: