benja tutake radhi unataka waume zetu watuache halafu iweje waende?
nadhani unaona choyo hakuna kama wanawake wa kitanzania,mapenzi tunayajua kupika tunajua na kupeti peti tunajua wewe naona unayakosa so unataka na wenzako wayakose.
tutake radhi benja sisi wanawake wakitanzania.
na wacha ubahili wako tumetoka makwetu lazima tuwasidiye watu wakwetu ndo mila na tamaduni zetu sisi si wamarekani weusi.
6 comments:
Jamani tulikumiss hiki kipindi afadhali , Mambo ya Benja Jabiri ,Yasini,
Benja bwana ,waache wake zao ,Benja ni mwisho.
Tumefurahi kuwaona hawa Vijana ,Mpwa ,safi sana .kijiwe.
FRIDGE LIMEJAA BIA TU , HAKUNA FOOD
Dj luke mshike Benja huyu .anachangamsha .tuko tayari kuchangia awe kilasiku,
benja tutake radhi unataka waume zetu watuache halafu iweje waende?
nadhani unaona choyo hakuna kama wanawake wa kitanzania,mapenzi tunayajua kupika tunajua na kupeti peti tunajua wewe naona unayakosa so unataka na wenzako wayakose.
tutake radhi benja sisi wanawake wakitanzania.
na wacha ubahili wako tumetoka makwetu lazima tuwasidiye watu wakwetu ndo mila na tamaduni zetu sisi si wamarekani weusi.
Post a Comment