Advertisements

Friday, March 27, 2015

AFYA YA MAMA DIAMOND, TUMUOMBEENI!


Msanii nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz akiwa na mamaake.Afya ya mama mzazi wa msanii nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz, Sanura Kassim ‘Sandra’ bado si shwari juzikati hali yake ilibadilika ghafla na kuilazimu familia yake kumkimbiza katika Hospitali ya TMJ iliyoko Mikocheni jijini Dar ambako 
amepewa kitanda, Ijumaa limetonywa. Chanzo cha uhakika kililieleza gazeti hili kuwa mama Diamond ambaye amekuwa akisumbuliwa na maradhi yenye kuashiria kupooza, juzikati alizidiwa na kusababisha ndugu zake wampeleke hospitali

No comments: