Wednesday, March 11, 2015

DK.SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa China Nchini Tanzania Dr.Lu Youqing alipofika Ikulu Mjini Zanzibar (kulia) Balozi Mdogo wa China anayefanyia kazi Zanzibar Xie Yunliang.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa China Nchini Tanzania Dr.Lu Youqing alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na mgeni wake Balozi wa China Nchini Tanzania Dr.Lu Youqing baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ikulu.]

No comments: