Mheshimiwa balozi wa Tanzania nchini Marekani Liberata Mulamula akiwa amependeza sana na vazi nadhifu la kiafrika tayari kuelekea THE WHITE HOUSE kujumuika na mabalozi wengine kufuatia mwaliko wa Mhe Barack Obama, Rais wa Marekani na mkewe Michelle Obama.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA CAMERA YA UBALOZI.
4 comments:
Beautiful!
Hongera mama ... utakaporudi wizarani usitusahau tu!
Bado tu yupo ? Si anasubiriwa bongo
Hongera sana Mheshimiwa Mulamula, umependeza sana, MUNGU akubariki sana. Wewe ni kiongozi bora wa kuigwa. Akina mama wengine wanapaswa kujifunza kutoka kwako namna ya kuheshimu uthamani walionao.
Post a Comment