ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, May 30, 2015

VITAMBI FC YAIFUNGA STARS UNITED 3-1


Satars United

Vitambi FC

 Nahodha wa timu ya Vitambi FC David (kushoto) akisalimiana na nahodha wa Stars United Dulla
 Ni hatari mpira golini kwa Vitambi FC.
 Mechi ikiendelea

 Mchezaji wa Vitambi FC akikkokota mpira kujaribu kuipita ngome ya Stars United
 Mchezaji Emmanuel wa Stars United akipiga pasi kwa mchezaji mwenzake Kheri Yahya huku mchezaji wa Vitambi FC akiangalia wasije wakaleta madhara.
 Mchezaji More akimiliki mpira.
 Mechi ilikua ya ushindani sana 
 Mchezaji Shabani akitoka nje baada ya mpira kwisha.
Mchezaji wa Vitambi FC akishangilia ushindi

No comments: