Advertisements

Tuesday, June 30, 2015

MSAFARA WA LOWASSA WASIMAMISHWA DUMILA MKOANI MOROGORO WAKATI AKIELEKEA MKOANI DODOMA

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akipunga mkono kwa umati wa watu wakazi wa Mji wa Dumila, Mkoani Morogoro, waliomsimamisha ili awasalimie wakati alipokuwa safarini kuelekea Mkoano Dodoma, leo Juni 30, 2015. Mh. Lowassa anatarajia kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya CCM kuwania Urais wa Tanzania, kesho Julai 1, 2015.PICHA NA OTHMAN MICHUZI.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwasalimia wanaCCM wa Mji wa Dumila, Mkoani Morogoro, waliomsimamisha wakati alipokuwa safarini kuelekea Mkoano Dodoma, leo Juni 30, 2015.

No comments: