Naylah Sebo na Lisa Shariff wakionyesha vyeti vyao baada ya kuhitimu masomo katika kiwango kinachotambulika kama 6th Grade katika shule ya msingi ya Kingsford iliyopo jimbo la Maryland nchini Marekani.
Kila hatua ya maisha yastahili kushangiliwa hongera sana watoto muendelee na juhudi hii mpaka mfikie kuhitimu PHD, hongera wazazi kwa mwamko wa kutambua na kushangilia hatua muhimu za maendeleo ya watoto, na wewe mdau wa kwanza hapo juu tuondolee mihasira yako kwa taarifa yako nondo ni nondo na kila mmoja anahaki ya kushangilia atakavyo mijitu mingine sijui mpoje full stress
3 comments:
Nondo ni degree punguzeni ulimbukeni
Kila hatua ya maisha yastahili kushangiliwa hongera sana watoto muendelee na juhudi hii mpaka mfikie kuhitimu PHD, hongera wazazi kwa mwamko wa kutambua na kushangilia hatua muhimu za maendeleo ya watoto, na wewe mdau wa kwanza hapo juu tuondolee mihasira yako kwa taarifa yako nondo ni nondo na kila mmoja anahaki ya kushangilia atakavyo mijitu mingine sijui mpoje full stress
I love your comment. Enough said . congrats little ladies
Post a Comment