Picha kwa hisani ya Samuel Malonja
Jumapili ya Julai 26 2015, kanisa linaloabudu kwa kiswahili hapa Washington DC la The Way of the Cross Gospel Ministries lilifanya ibada maalum ya kuagana na aliyekuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula
|
Aliyekuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe Liberata Mulamula akiongea na washarika pamoja na wageni waliohudhuria ibada maaluma ya kumuaga |
Kwa picha zaidi, bofya soma zaidi
|
Aliyekuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe
Liberata Mulamula akiongea na washarika pamoja na wageni waliohudhuria
ibada maaluma ya kumuaga |
|
Mch Ferdinand Shideko akimkabidhi cheti Mhe Balozi Mulamula kwa niaba ya kanisa |
|
Mchungaji John mbatta akisoma kwa washarika na wageni maneno yaliyo kwenye cheti alichokabidhiwa Balozi Mulamula |
|
Mwinjilisti Celina Lyimo akimkabidhi Balozi Mulamula zawadi |
|
Washarika na wageni wakijumuika kumpongeza Mhe Balozi Mulamula baada ya kukabidhiwa zawadi na kanisa |
|
Mchungaji Shideko akihubiri katika ibada hiyo |
|
Wageni na washarika wakifuatilia mahubiri |
Baada ya hapo, yalifanyika maombi maalum kwa ajili ya Balozi, yaliyofanywa na wachungaji wakishirikiana na waumini na wageni
|
Wachungaji toka makanisa mbalimbali hapa DMV wakiongoza maombi kwa Balozi Liberata Mulamula |
No comments:
Post a Comment