ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, July 7, 2015

TAARIFA YA MSIBA DMV NA TANZANIA

Marehemu Apostle John Komanya

Ndugu yetu Magdalena Komanya anasikitika kutangaza kifo cha pacha wake mchungaji komanya kilichotokea nyumbani Tanzania tarehe 5/7/2015.dada Magdalena yupo kwa dada Rebeka Ndekeja.
2901 Arundel rd.#2.
Mt.Rainer MD
mnaweza kwenda kumpa pole au kumpigia simu kwenye number 614 495 7983 Magdalena Komanya au 202 436 0126 .

1 comment:

Anicetus said...

Poleni sana, uchungu wenu ni wetu, tuko pamoja kwa masikitiko ya mwenzetu kutokuwa na sisi.