Advertisements

Sunday, August 9, 2015

Misa ya Shukurani Arubaini ya Marehemu Mzee Samuel N. Luangisa

Mchungaji Butiku akiongoza misa ya shukurani na arubaini ya marehemu Mzee Samuel Luangisa iliyofanyika siku ya Jumamosi Aug 8, 2015 Mount Vernon, New York na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya Marekani.
Mrs Luangisa, mke wa marehemu akifuatilia misa.

Wanafamilia wakifuatilia misa.

Wajukuu wa marehemu wakifanya onesho la kumuenzi babu yao.

Mtoto wa marehemu Mao Luangisa akitoa salamu za shukurani.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania New York Hajji Khamis akiongea machache huku akisisitiza upendo na mshikmano kwenye Jumuiya za Watanzania hususani zile zilizopo nje ya Tanzania kwani kwa kufanya hivyo Jumuiya zitakua imara.

Mchungaji Butiku akiongoza misa.

Wakati wa maakuli.
Kwa picha zaidi bofya soma zaidi









No comments: