Advertisements

Saturday, August 22, 2015

Rais Kikwete amuapisha Balozi Mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe

Balozi mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe Luteni Jenerali Charles Lawrence Makakala akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es salaam jana.Hafla hiyo ilihudhuriwa (picha na Freddy Maro)

1 comment:

Anonymous said...

JAJI WEREMA AJIPIME KAMA ANASTAHILI KUENDELEA KUWA JAJI NA MWANASHERIA MKUU
Uamuzi wa Jaji Werema kutaka kupigana bungeni hata kuzuiwa na Mhe Sitta na Wasira na baadae nje ya Bunge kumtishia uhai Mhe Mbunge ni kielelezo kuwa amepungukiwa sifa za msingi kuweza kuendelea kuwa mwanasheria mkuu wa serikali. Ni aibu serikali ya Kikwete kuwa na Mwanasheria mkuu ambaye kazi yake kubwa ni kuelekeza na kushauri utawala wa sheria nchini harafu anageuka na kuwa mfano wa raia mwenye mapenzi ya kujichukulia sheria mkononi ndani ya bunge na kuahidi kukata kichwa mbunge anaemkosoa. Hii haijapata kutokea katika historia ya Tanzania.