Advertisements

Saturday, August 1, 2015

Tangazo la biashara ya kukodisha trekta

TUNAKODISHA TREKTA!!
"Kwa wale wakulima wenye ekari za kutosha maeneo kuanzia Mkuranga, Mwarusembe, Kimanzichana ya Mkiu, Mkamba nk hadi maeneo ya Ikwiriri na Rufiji.... mkombozi kapatikana sasa. Ile hofu ya kulima kwa muda muafaka imepata jawabu!!
Tumeleta trekta linalofaa kupambana kwa kazi maeneo hayo, trekta hilo ni FORD 7500.
Bei zetu ni nzuri zipo baina ya Tshs. 40,000/= hadi 60,000/= kulingana na umbali.
Kwa mawasiliano:
1. 0787519910 na 0767519910... Tutakujibu kwa simu na sms!!
2. Kwa 0787519910 tutakujibu kwa whatsapp

No comments: