Makamu wa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Gharib Bilal akipata maelezo ya huduma za hali ya hewa majini kutoka kwa maafisa wa TMA Bi. Monica Mutoni (Afisa Uhusiano) na Bw. Daud Amasi (Meneja Kanda ya Kusini) kwenye maadhimisho ya Siku ya Bahari Duniani, mkoani Mtwara. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe.Halima Dendego (mwenye kofia)
No comments:
Post a Comment