Ndugu yetu Majid Zuberi anatuarifu Kisomo cha Hitima za Marehemu Mdogo Wake Abu Twalibu Zuberi Kajwangya Na Mama Mlezi Rehema Kajwangya misiba yote imetokea Kanyigo Bukoba.Siku ya Jumamosi September 26, 2015Kuanzia Saa Kumi na Mbili jioni hadi Saa Tatu usiku (6PM – 9PM)Anuani:Indian Spring Terrace Local Park9717 Lawndale Dr.Silver Spring, MD 20901Kama Ilivyo ada, tunawaomba WaTanzania na Wana Jumuia wote wa hapa DMV tujumuike kwa Pamoja.Ukipata Taarifa hii Tafadhali Mjulishe na Mwenzio.Kwa Taarifa Zaidi Wasiliana naMajid Zuberi 240-286-4576Asha Hariz 703 624 2409Ali Mohammed 301-500-9762Shamis Abdullah 202-509-1355Tunatanguliza Shukran.
ANGALIA LIVE NEWS
Saturday, September 26, 2015
TANGAZO LA KISOMO DMV
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment