Vizuri sana na maswali yako ila nakufahamisha muheshimiwa Lowasa anatafuta kocha wa kumkochi jinsi ya kuuliza maswali kwani yupo mguu ndani mguu nje akijuuliza vipi atalikabili tinga tinga sasa na huo utaalam unao ndugu yangu usipoteze hiyo nafasi kachukuwe zako pesa usiwachie akina Lisu na Mbowe wafaidike peke yao.
2 comments:
Naunga mkono hoja 100%
Vizuri sana na maswali yako ila nakufahamisha muheshimiwa Lowasa anatafuta kocha wa kumkochi jinsi ya kuuliza maswali kwani yupo mguu ndani mguu nje akijuuliza vipi atalikabili tinga tinga sasa na huo utaalam unao ndugu yangu usipoteze hiyo nafasi kachukuwe zako pesa usiwachie akina Lisu na Mbowe wafaidike peke yao.
Post a Comment