Sunday, October 25, 2015

MGOMBEA URAIS KUPITIA TIKETI YA CCM DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI APIGA KURA CHATO

 Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akijiandaa kupiga kura huko kijijini kwake Chato mkoani Geita leo
  Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipiga kura yake
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM  Dk. John Pombe Joseph Magufuli akikunja vizuri karatasi baada ya kupiga kura yake jimboni kwake Chato mapema leo asubuhi Oktoba 25, 2015.
Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiweka karatasi kwenye sanduku

2 comments:

Anonymous said...

Magufuli mwenyewe anampigia LOWASSA

Anonymous said...

Thubutu. Tangu lini rais akampigia msindikizaji? #Hapa kazi tu!