ANGALIA LIVE NEWS

Friday, October 9, 2015

Rais Kikwete atembelea Bugne la Msumbiji

Spika wa Bunge la Msumbiji Mh.Veronica Macamo akimkabirisha Rais Kikwete katika bunge hilo,kumtambulisha kwa baadhi ya wabunge na kufanya naye mazungumzo.
Rais Kikwete aongea na Spika wa Bunge la Msumbiji Mh.Veronica Macamo
Rais Kikwete akisaini kitabu cha wageni mashuhuri huku Spika wa Bunge hilo Veronica Macamo akishuhudia.
Rais Kikwete aongea na waandishi wa habari Bungeni Maputo (picha na Freddy Maro)

1 comment:

Anonymous said...

Wanawake maspika wanatisha Kama mabaunza
Samahani kina mama