
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe Halima Denengo na mmiliki wa kiwanda kipya
cha Saruji cha Dangote Alhaj Aliko Dangote (nyuma yao) wakati wa sherehe
za kuzindua kiwanda hicho kikubwa kuliko viwanda vyote vya saruji
Afrika Mashariki huko Mtwara.

Sehemu ya wafanyakazi wa kiwanda kipya cha Saruji cha Dangote Alhaj Aliko Dangote wakati wa sherehe za kuzindua kiwanda hicho.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Alhaj Aliko Dangote wakikata utepe kuashiria kuzindua rasmi kiwanda cha saruji cha Dangote ambacho ni kikubwa kuliko viwanda vyote vya saruji Afrika Mashariki huko Mtwara.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Alhaj Aliko Dangote wakifunua pazia kuashiria kuzindua rasmi kiwanda cha saruji cha Dangote ambacho ni kikubwa kuliko viwanda vyote vya saruji Afrika Mashariki.

Rais Jakaya
Mrisho Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa uzalishaji Bi.
Mbumi Mwampeta (23) kuhusu uzalishaji wa satuji kwa njia za kisasa baada
ya kuzindua rasmi kiwanda cha saruji cha Dangote ambacho ni kikubwa
kuliko viwanda vyote vya saruji Afrika Mashariki huko Mtwara Jumamosi
Oktoba 10, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Alhaj Aliko Dangote na familia yake na ujumbe wake kutoka Nigeria wakipata picha ya kumbukumbu wakati wa sherehe za kuzindua kiwanda hicho kikubwa kuliko viwanda vyote vya saruji Afrika Mashariki huko Mtwara Jumamosi.PICHA NA IKULU.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Alhaj Aliko Dangote na ujumbe wake kutoka Nigeria wakipata picha ya kumbukumbu wakati wa sherehe za kuzindua kiwanda hicho kikubwa kuliko viwanda vyote vya saruji Afrika Mashariki huko Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015

3 comments:
All engineers waliomaliza mlimani au vyuo vya bongo hope wamepewa employment as itakuwa ni muhimu kuwapa fursa watanzania kazi za kila sector kwenye hiki kiwanda na siyo wachina as the pictures show.
Kwa hiyo bei ya cement itakuwa nafuu sana au mwendo ni ule uleeee.????? Naona misifa kede kedeeee oooohhh kiwanda kikubwa kuliko vyote Afrika Mashariki sijui nini nini ili iweje...ππππππ
Hatujui kilichopo ndani ya huo mkatabaa
Post a Comment