Wahitimu wakionyesha mafunzo ya sarakasi waliyopata mara baada ya kuhitimu kozi ya awali ya Sajini na Askari wakati wa kufunga mafunzo hayo katika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji,jijini Dar es Salaam,yaliyofanyika mwishoni mwa wiki
Wahitimu wakionyesha mafunzo ya karate waliyopata mara baada ya kuhitimu kozi ya awali ya Sajini na Askari wakati wa kufunga mafunzo hayo katika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji,jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Pius Nyambacha, akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya Sajini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji,yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Chuo Cha Uongozi JKT Kimbiji,jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakiwa wamebeba mfano wa majeruhi wa ajali, mara baada ya kumuokoa kutoka eneo la tukio wakati wa maonyesho ya kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya Sajini na Askari wa Jeshi hilo,yaliyofanyika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji,jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya Sajini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji,yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Chuo Cha Uongozi JKT Kimbiji,jijini Dar es Salaam.
Mhitimu wa Mafunzo ya Kozi ya Awali ya Sajini na Askari,Joel Daniel(kulia),akimpiga teke mhitimu mwenzake Sylvestre Mandawa, wakati wa maonyesho ya karate ya kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya Sajini na Askari wa Jeshi hilo,yaliyofanyika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji,jijini Dar es Salaam,mwishoni mwa wiki.
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji,wakiwadhibiti vijana ambao ni mfano wa wezi ambao walikamatwa wakiiba vitu wakati wa janga la moto,maonyesho hayo yalifanyika mwishoni mwa wiki,Chuo Cha Uongozi JKT Kimbiji, jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment