![]() |
| Watoto waish7io katika mazing4ira mag4umu wanaolelewa katika kituo cha Amani Center wakifurahia zawadi zilizotolewa na kampuni ya Megatrade kwa ajili ya siku kuu za Christmas na Mwaka mpya. |
![]() |
| Baadhi ya zawadi zilizotolewa na kampuni ya Megatrade kwa watoto wao. |
![]() |
| Watoto waishio katika mazingira magumu wanao lelewa katika kituo cha Amani Center wakiweka pozi la picha mara baada ya kukabidhiwa zawadi kutoka Megatrade Investment ya jijini Arusha. |
![]() |
| Kituo cha watoto cha Amani Center. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. |







No comments:
Post a Comment