VIJIMAMBO

ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, December 29, 2015

MKE WA T.B JOSHUA AELEZA JINSI ALIVYOANZA MAPENZI NA MUMEWE, AULIZWA ALIVYO ‘KITANDANI’!



Mke wa mhubiri maarufu wa Nigeria, T.B Joshua, Bi. Evelyn Joshua ameeleza namna amefanya mahojiano maalum na gazeti la Sun na kueleza namna alivyoanza uhusiano wa mapenzi na mumewe pamoja na maisha yao ya mapenzi kama wana ndoa.
Evelyn alieleza kuwa alipokutana na T.B Joshua kwa mara ya kwanza alimwambia bila kumung’unya maneno kuwa anataka kumuoa (ali-propose).

Haya ni baadhi ya maswali na majibu ya mahojiano hayo: 

Sun: Tuambie mlikutanaje

Evelyn: Ndio.. kama nilivyokwambia mwanzo ndivyo ilivyo. Mhhh, sijui niiteje… ulikuwa mpango wa Mungu. Ni hadithi ndefu lakini kitu cha kushangaza zaidi siku hiyo kilikuwa hicho. Ilikuwa siku niliyokutana naye na ndio siku aliponiomba tuoane. Alisema nakupenda, nataka kukuoa. Ilikuwa kama hivyo tu.

Sun: Watu wengi wanaamini kwamba wachungaji sio ‘romantic’. Wanafunga na kuomba muda wote. Je, T.B Joshua ni ‘romantic’?

Evelyn: Ni mwanaume mzuri

Sun: Ni mwanaume mzuri kitandani?

Evelyn: Mhhhhh..! Siwezi kusema, nisingejua… kwa sababu hakuna mwanamke ambaye angependa kumzungumzia mumewe hadi kwenye hatua hiyo. Ila mimi nadhani ni mwanaume mzuri.

Sun: Watu wengi hawamuelewi mumeo, wanadhani ni mtu mwenye mambo ya nguvu za giza na anatumia nguvu za giza. Unaposoma habari kama hizo unajisikiaje?

Evelyn: Najua sio kweli, hawamjui. Sio mtu wa ajabu, sio mtu wa nguvu za giza, amejitoa kwa kazi yake tu. Ni mtu ambaye ana hofu ya Mungu ndani yake, ni hivyo tu. Hizo habari hazinitingishi kwa vyovyote kwa sababu inaonekana hawamfahamu.

-Evelyn ambaye ana watoto watatu wa kike pekee, ameeleza kuwa ameridhika na ndoa yake na wanae wa kike wa pekee kwa kuwa amezungukwa na wavulana. Alieleza kuwa haoni kuwa na watoto wa kike pekee kama tatizo ingawa jamii yake huthamini watoto wa kiume zaidi ya watoto wa kike.
at 7:09:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

DJ Luke Joe

DJ Luke Joe

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

IskaJoJo Studios

IskaJoJo Studios

BEST MUSIC,BEST RATES

BEST MUSIC,BEST RATES
Music From The Past To The Present

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA
TAARIFA YA HABARI & VYOMBO VYA HABARI

GENN RADIO

GENN RADIO
LISTEN LIVE

Clouds FM

Clouds FM
LISTEN LIVE

Radio Mbao

Radio Mbao
LISTEN LIVE

TONE ONLINE RADIO

TONE ONLINE RADIO
LISTEN LIVE

MJ RADIO

MJ RADIO
LISTERN ONLINE NOW

BONGO FLEVA

Tafuta

Kumbukumbu

Wadau

Tovuti na Blog Nyingine

  • 24 SEVEN 365
  • AL JAZEERA
  • BBC
  • BONGO CELEBRITY
  • BONGO STAR LINK
  • CHANGAMOTO YETU
  • CHEKA UPASUKE
  • CNN
  • DAILY NATION
  • DAILY NEWS
  • DINA MARIOS
  • DMK 411 BLOG
  • EBONY MAGAZINE
  • FACEBOOK
  • FIRST ROW SPORTS
  • FOX SOCCER
  • FULL SHANGWE
  • GENN MEDIA BLOG
  • GLOBAL PUBLISHERS
  • GSENGO BLOG
  • GUARDIAN UK
  • HABARI LEO
  • HAKI NGOWI
  • HIP HOP NEWS
  • IPP MEDIA
  • ISKAJOJO
  • JAMII BLOG
  • JIACHIE
  • K-VIS BLOG
  • KAHAWA TUNGU
  • KAMUSI
  • KITIME
  • KULIKONI
  • LADY JD
  • LILY MELODYY BLOG
  • LUNINGA
  • MAGANGA ONE
  • MAJIRA
  • MAMBOJAMBORADIO
  • MATUKIO
  • MAWASILIANO IKULU
  • MBEYA YETU
  • MICHUZI
  • MISS JESTINA GEORGE BLOG
  • MO BLOG
  • MOHAB MATUKIO
  • MTAA KWA MTAA BLOG
  • MWANANCHI
  • NAIROBI NEWS
  • NATION
  • NEW YORK TIMES
  • OTHMAN MAULID BLOG
  • PROFA
  • RAIA MWEMA
  • RED PEPPER
  • SAUTI TOKA NYIKANI
  • SHALUWA
  • SHAMIM
  • SPORT STAREHE
  • SPORTS SITE
  • STORM FM GEITA
  • SUBSONIC
  • SUFIANI MAFOTO
  • SUNDAY SHOMARI'S BLOG
  • SUPER SPORT
  • SWAHILI NA WASWAHILI
  • SWAHILI TV
  • SWAHILI VILLA
  • TAIFA JIPYA
  • TANZANIA BUSINESS DIRECTORY
  • TANZANIA DAIMA
  • TANZANIA GLAMOUR
  • TANZANIA HOTELS,WILDLIFE SAFARIS & CHEAP FLIGHTS
  • TAWICHITA
  • TEKNOHABARI
  • THA FUNK HOUSE
  • The Embassy of the United Republic of Tanzania in the United States
  • THE GLOBE AND MAIL
  • THE MONITOR
  • THE STANDARD
  • TMZ
  • TUNYFISH
  • TZMOMS
  • UHURU
  • UTNC
  • VOA-SWAHILI
  • WASHINGTON POST
  • WAVUTI
  • ZIMBIO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

  • KURA ZA MAONI
    Watanzania DMV Vijimambo inaomba kura za maoni kutoka kwako kati ya Iddi Sandaly na Loveness Mamuya nani ni chaguo lako la Urais? TAFDHALI ...
  • BAADA YA MIAKA 43 YA KIFO CHA DK KLERUU, FAMILIA YA DK KLERUU YAKUTANA NA YA MWAMWINDI
    Eva Kleruu na Amani Mwamwindi baada ya kukutana Eva na Amani SIMANZI na machozi yalibubujika wakati familia mbili za Dk Wilbert Kler...
  • WILL MAGUFULI SAVE TANZANIA?
                                                      BY MOHAMED MATOPE               I’m not the kind of guy who jumps in the political...
  • DC LINDI MHE. VICTORIA MWANZIVA ATEULIWA KATI YA WANAWAKE 15 BARANI AFRIKA KUSHIRIKI PROGRAMU YA UONGOZI KWA WANAWAKE YA EJS CENTRE
    Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mhe. Victoria Mwanziva, ni miongoni mwa Wanawake 15 Barani Afrika waliopata bahati ya kuchaguliwa kwenye program ma...
  • Je, Ni Kwanini Mwamwindi Alimpiga Risasi Dr Kleruu; Mahojiano Na Mtoto Wa Mwamwindi (3)
    ” Niliporudi nyumbani kutoka Ifunda nikazikuta habari hizo mbaya. Nikaenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Mzee pale Mshindo. Nikawakuta a...
  • KISA NA MKASA TUKIO LA MKULIMA SAID MWAMWINDI NA RC WA IRINGA DKT. WILBERT KLERUU 1971
      Ni miaka 55 imepita toka Mnyalukolo, Said Abdallah Siulanga Mwamwindi, ammimimie risasi na kumuua aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Iringa, marehe...
  • UNESCO NATIONAL COMMISSIONS PREPARE AND ORGANISE STATE PARTY PARTICIPATION IN UNESCO MEETINGS
      State party participation in the UNESCO meetings including the World Heritage Committee meetings involves a coordinated diplomatic and tec...
  • DC, MD, VA
    NDUGU WATANZANIA WA DMV NAPENDA KUWAOMBA RASMI  USHIRIKIANO WENU  KATIKA  ZOEZI HILI LA KUPIGA KURA  LITAKALO FANYIKA  JUMAPILI  TAREHE 15...
  • SIMBA WANYIKA NA ASILI YAO
      Pichani ni kundi la vijana wa jamhuri jazz Makundi yote ya Wanyika yalikuwa yamejikita nchini Kenya, ingawa viongozi wake wakuu, ndugu wa ...
  • DKT. KIJAJI ASHIRIKI MKUTANO WA 126 WA BARAZA TENDAJI LA UTALII LA UMOJA WA MATAIFA HISPANIA
    TOLEDO, Hispania  JUNI 10, 2026 WAZIRI  wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), ameshiriki katika hafla ya ufunguzi wa Mkutano...

LIVE TRAFFIC FEED

© 2015 Vijimambo - All Rights Reserved
Powered by Blogger.

HIT COUNTER BY GOOGLE