VIJIMAMBO

ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, December 29, 2015

MKE WA T.B JOSHUA AELEZA JINSI ALIVYOANZA MAPENZI NA MUMEWE, AULIZWA ALIVYO ‘KITANDANI’!



Mke wa mhubiri maarufu wa Nigeria, T.B Joshua, Bi. Evelyn Joshua ameeleza namna amefanya mahojiano maalum na gazeti la Sun na kueleza namna alivyoanza uhusiano wa mapenzi na mumewe pamoja na maisha yao ya mapenzi kama wana ndoa.
Evelyn alieleza kuwa alipokutana na T.B Joshua kwa mara ya kwanza alimwambia bila kumung’unya maneno kuwa anataka kumuoa (ali-propose).

Haya ni baadhi ya maswali na majibu ya mahojiano hayo: 

Sun: Tuambie mlikutanaje

Evelyn: Ndio.. kama nilivyokwambia mwanzo ndivyo ilivyo. Mhhh, sijui niiteje… ulikuwa mpango wa Mungu. Ni hadithi ndefu lakini kitu cha kushangaza zaidi siku hiyo kilikuwa hicho. Ilikuwa siku niliyokutana naye na ndio siku aliponiomba tuoane. Alisema nakupenda, nataka kukuoa. Ilikuwa kama hivyo tu.

Sun: Watu wengi wanaamini kwamba wachungaji sio ‘romantic’. Wanafunga na kuomba muda wote. Je, T.B Joshua ni ‘romantic’?

Evelyn: Ni mwanaume mzuri

Sun: Ni mwanaume mzuri kitandani?

Evelyn: Mhhhhh..! Siwezi kusema, nisingejua… kwa sababu hakuna mwanamke ambaye angependa kumzungumzia mumewe hadi kwenye hatua hiyo. Ila mimi nadhani ni mwanaume mzuri.

Sun: Watu wengi hawamuelewi mumeo, wanadhani ni mtu mwenye mambo ya nguvu za giza na anatumia nguvu za giza. Unaposoma habari kama hizo unajisikiaje?

Evelyn: Najua sio kweli, hawamjui. Sio mtu wa ajabu, sio mtu wa nguvu za giza, amejitoa kwa kazi yake tu. Ni mtu ambaye ana hofu ya Mungu ndani yake, ni hivyo tu. Hizo habari hazinitingishi kwa vyovyote kwa sababu inaonekana hawamfahamu.

-Evelyn ambaye ana watoto watatu wa kike pekee, ameeleza kuwa ameridhika na ndoa yake na wanae wa kike wa pekee kwa kuwa amezungukwa na wavulana. Alieleza kuwa haoni kuwa na watoto wa kike pekee kama tatizo ingawa jamii yake huthamini watoto wa kiume zaidi ya watoto wa kike.
at 7:09:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

DJ Luke Joe

DJ Luke Joe

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

IskaJoJo Studios

IskaJoJo Studios

BEST MUSIC,BEST RATES

BEST MUSIC,BEST RATES
Music From The Past To The Present

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA
TAARIFA YA HABARI & VYOMBO VYA HABARI

GENN RADIO

GENN RADIO
LISTEN LIVE

Clouds FM

Clouds FM
LISTEN LIVE

Radio Mbao

Radio Mbao
LISTEN LIVE

TONE ONLINE RADIO

TONE ONLINE RADIO
LISTEN LIVE

MJ RADIO

MJ RADIO
LISTERN ONLINE NOW

BONGO FLEVA

Tafuta

Kumbukumbu

Wadau

Tovuti na Blog Nyingine

  • 24 SEVEN 365
  • AL JAZEERA
  • BBC
  • BONGO CELEBRITY
  • BONGO STAR LINK
  • CHANGAMOTO YETU
  • CHEKA UPASUKE
  • CNN
  • DAILY NATION
  • DAILY NEWS
  • DINA MARIOS
  • DMK 411 BLOG
  • EBONY MAGAZINE
  • FACEBOOK
  • FIRST ROW SPORTS
  • FOX SOCCER
  • FULL SHANGWE
  • GENN MEDIA BLOG
  • GLOBAL PUBLISHERS
  • GSENGO BLOG
  • GUARDIAN UK
  • HABARI LEO
  • HAKI NGOWI
  • HIP HOP NEWS
  • IPP MEDIA
  • ISKAJOJO
  • JAMII BLOG
  • JIACHIE
  • K-VIS BLOG
  • KAHAWA TUNGU
  • KAMUSI
  • KITIME
  • KULIKONI
  • LADY JD
  • LILY MELODYY BLOG
  • LUNINGA
  • MAGANGA ONE
  • MAJIRA
  • MAMBOJAMBORADIO
  • MATUKIO
  • MAWASILIANO IKULU
  • MBEYA YETU
  • MICHUZI
  • MISS JESTINA GEORGE BLOG
  • MO BLOG
  • MOHAB MATUKIO
  • MTAA KWA MTAA BLOG
  • MWANANCHI
  • NAIROBI NEWS
  • NATION
  • NEW YORK TIMES
  • OTHMAN MAULID BLOG
  • PROFA
  • RAIA MWEMA
  • RED PEPPER
  • SAUTI TOKA NYIKANI
  • SHALUWA
  • SHAMIM
  • SPORT STAREHE
  • SPORTS SITE
  • STORM FM GEITA
  • SUBSONIC
  • SUFIANI MAFOTO
  • SUNDAY SHOMARI'S BLOG
  • SUPER SPORT
  • SWAHILI NA WASWAHILI
  • SWAHILI TV
  • SWAHILI VILLA
  • TAIFA JIPYA
  • TANZANIA BUSINESS DIRECTORY
  • TANZANIA DAIMA
  • TANZANIA GLAMOUR
  • TANZANIA HOTELS,WILDLIFE SAFARIS & CHEAP FLIGHTS
  • TAWICHITA
  • TEKNOHABARI
  • THA FUNK HOUSE
  • The Embassy of the United Republic of Tanzania in the United States
  • THE GLOBE AND MAIL
  • THE MONITOR
  • THE STANDARD
  • TMZ
  • TUNYFISH
  • TZMOMS
  • UHURU
  • UTNC
  • VOA-SWAHILI
  • WASHINGTON POST
  • WAVUTI
  • ZIMBIO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

  • PRESIDENT KIKWETE LAUNCHES World bank's report on Productive Jobs Necessary for Tanzania’s Fast-Growing Workforce
    President Jakaya Mrisho Kikwete greets Managing Director of the World Bank Ms Sri Mulyani Indrawati as he arrives at the launch of the b...
  • PICHA 20 ZA MADEM WA TEAM YANGA WALIVYOPENDEZA KUWASUBIRIA SIMBA HABARI NDIYO HII
    Mambo hipo uku kama wewe ni mnazi wa Yanga basi pitia hizi picha warembo wa Yanga wako tayari kuwasubiri Simba wknd hii Uwanja wa Taifa. ...
  • TANZANIA DIASPORA USA WAKUTANA NA MWENYEKITI WA BUNGE LA KATIBA, MHE. JOHN SITTA,
        Mheshimiwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba na Waziri wa Afrika Mashariki​​, Mheshimiwa Samweli Sitta akiwa kwenye picha ya pamo...
  • NJIA 60 ZA KUMFURAHISHA MUMEO.
    Katika mada yangu ya “njia 60 za kumfurahisha mkeo” niliahidi kuendelea na maudhui hii kwa kuwaletea mada ya “kumfurahisha mumeo”. Natanguli...
  • Uganda, Tanzania investigate socialite Jack Pemba
    Socialite Jack Pemba  In Summary An online publication recently reported that Mr Pemba’s case file relating to fake gold transactio...
  • MKAKATI WA DIASPORA KATIKA DUAL CITIZENSHIP
    CHANGIA    http://www.gofundme.com/7jtyuw Pursuant to our call for the right of dual citizenship for all Tanzanians, the Tanz...
  • Uganda: Police arrest over gay activist Kato killing
    David Kato was a campaigner who led condemnation of Uganda's Anti-Homosexuality Bill Ugandan police have arrested a man over last wee...
  • The rise of Museveni’s son in the army
    President Yoweri Museveni Mobhare Matinyi, Washington DC      The Citizen, Tanzania      Thursday, 30 August 2012  22:35 What some E...
  • MAJINA YA WANADIASPORA WA MAREKANI WATAOSHIRIKI KWENYE BUNGE LA KATIBA
    Dear All, I am happy to report to you that, we were able to meet the deadline of submitting 9 names to the President’s Office in Dare s Sa...
  • DCEA YATEKETEZA MASHAMBA YA BANGI EKARI 157 KONDOA, WATUHUMIWA 7 WAKAMATWA
    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kondoa pamoja na w...

LIVE TRAFFIC FEED

© 2015 Vijimambo - All Rights Reserved
Powered by Blogger.

HIT COUNTER BY GOOGLE