VIJIMAMBO

ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, December 29, 2015

MKE WA T.B JOSHUA AELEZA JINSI ALIVYOANZA MAPENZI NA MUMEWE, AULIZWA ALIVYO ‘KITANDANI’!



Mke wa mhubiri maarufu wa Nigeria, T.B Joshua, Bi. Evelyn Joshua ameeleza namna amefanya mahojiano maalum na gazeti la Sun na kueleza namna alivyoanza uhusiano wa mapenzi na mumewe pamoja na maisha yao ya mapenzi kama wana ndoa.
Evelyn alieleza kuwa alipokutana na T.B Joshua kwa mara ya kwanza alimwambia bila kumung’unya maneno kuwa anataka kumuoa (ali-propose).

Haya ni baadhi ya maswali na majibu ya mahojiano hayo: 

Sun: Tuambie mlikutanaje

Evelyn: Ndio.. kama nilivyokwambia mwanzo ndivyo ilivyo. Mhhh, sijui niiteje… ulikuwa mpango wa Mungu. Ni hadithi ndefu lakini kitu cha kushangaza zaidi siku hiyo kilikuwa hicho. Ilikuwa siku niliyokutana naye na ndio siku aliponiomba tuoane. Alisema nakupenda, nataka kukuoa. Ilikuwa kama hivyo tu.

Sun: Watu wengi wanaamini kwamba wachungaji sio ‘romantic’. Wanafunga na kuomba muda wote. Je, T.B Joshua ni ‘romantic’?

Evelyn: Ni mwanaume mzuri

Sun: Ni mwanaume mzuri kitandani?

Evelyn: Mhhhhh..! Siwezi kusema, nisingejua… kwa sababu hakuna mwanamke ambaye angependa kumzungumzia mumewe hadi kwenye hatua hiyo. Ila mimi nadhani ni mwanaume mzuri.

Sun: Watu wengi hawamuelewi mumeo, wanadhani ni mtu mwenye mambo ya nguvu za giza na anatumia nguvu za giza. Unaposoma habari kama hizo unajisikiaje?

Evelyn: Najua sio kweli, hawamjui. Sio mtu wa ajabu, sio mtu wa nguvu za giza, amejitoa kwa kazi yake tu. Ni mtu ambaye ana hofu ya Mungu ndani yake, ni hivyo tu. Hizo habari hazinitingishi kwa vyovyote kwa sababu inaonekana hawamfahamu.

-Evelyn ambaye ana watoto watatu wa kike pekee, ameeleza kuwa ameridhika na ndoa yake na wanae wa kike wa pekee kwa kuwa amezungukwa na wavulana. Alieleza kuwa haoni kuwa na watoto wa kike pekee kama tatizo ingawa jamii yake huthamini watoto wa kiume zaidi ya watoto wa kike.
at 7:09:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

DJ Luke Joe

DJ Luke Joe

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

IskaJoJo Studios

IskaJoJo Studios

BEST MUSIC,BEST RATES

BEST MUSIC,BEST RATES
Music From The Past To The Present

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA
TAARIFA YA HABARI & VYOMBO VYA HABARI

GENN RADIO

GENN RADIO
LISTEN LIVE

Clouds FM

Clouds FM
LISTEN LIVE

Radio Mbao

Radio Mbao
LISTEN LIVE

TONE ONLINE RADIO

TONE ONLINE RADIO
LISTEN LIVE

MJ RADIO

MJ RADIO
LISTERN ONLINE NOW

BONGO FLEVA

Tafuta

Kumbukumbu

Wadau

Tovuti na Blog Nyingine

  • 24 SEVEN 365
  • AL JAZEERA
  • BBC
  • BONGO CELEBRITY
  • BONGO STAR LINK
  • CHANGAMOTO YETU
  • CHEKA UPASUKE
  • CNN
  • DAILY NATION
  • DAILY NEWS
  • DINA MARIOS
  • DMK 411 BLOG
  • EBONY MAGAZINE
  • FACEBOOK
  • FIRST ROW SPORTS
  • FOX SOCCER
  • FULL SHANGWE
  • GENN MEDIA BLOG
  • GLOBAL PUBLISHERS
  • GSENGO BLOG
  • GUARDIAN UK
  • HABARI LEO
  • HAKI NGOWI
  • HIP HOP NEWS
  • IPP MEDIA
  • ISKAJOJO
  • JAMII BLOG
  • JIACHIE
  • K-VIS BLOG
  • KAHAWA TUNGU
  • KAMUSI
  • KITIME
  • KULIKONI
  • LADY JD
  • LILY MELODYY BLOG
  • LUNINGA
  • MAGANGA ONE
  • MAJIRA
  • MAMBOJAMBORADIO
  • MATUKIO
  • MAWASILIANO IKULU
  • MBEYA YETU
  • MICHUZI
  • MISS JESTINA GEORGE BLOG
  • MO BLOG
  • MOHAB MATUKIO
  • MTAA KWA MTAA BLOG
  • MWANANCHI
  • NAIROBI NEWS
  • NATION
  • NEW YORK TIMES
  • OTHMAN MAULID BLOG
  • PROFA
  • RAIA MWEMA
  • RED PEPPER
  • SAUTI TOKA NYIKANI
  • SHALUWA
  • SHAMIM
  • SPORT STAREHE
  • SPORTS SITE
  • STORM FM GEITA
  • SUBSONIC
  • SUFIANI MAFOTO
  • SUNDAY SHOMARI'S BLOG
  • SUPER SPORT
  • SWAHILI NA WASWAHILI
  • SWAHILI TV
  • SWAHILI VILLA
  • TAIFA JIPYA
  • TANZANIA BUSINESS DIRECTORY
  • TANZANIA DAIMA
  • TANZANIA GLAMOUR
  • TANZANIA HOTELS,WILDLIFE SAFARIS & CHEAP FLIGHTS
  • TAWICHITA
  • TEKNOHABARI
  • THA FUNK HOUSE
  • The Embassy of the United Republic of Tanzania in the United States
  • THE GLOBE AND MAIL
  • THE MONITOR
  • THE STANDARD
  • TMZ
  • TUNYFISH
  • TZMOMS
  • UHURU
  • UTNC
  • VOA-SWAHILI
  • WASHINGTON POST
  • WAVUTI
  • ZIMBIO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

  • Kura ya maoni Kenya yafanyika kwa amani
    Milolongo ya wapiga kura Shughuli ya kupiga kura ya maoni kupinga au kuunga mkono katiba mpya inayopendekezwa nchini Kenya imemalizika. Shug...
  • Biography for Halle Berry,Height 5' 6" (1.68 m)
    Halle Berry was born on August 14, 1966 in Cleveland, Ohio, USA to African American father Jerome Berry, a former hospital attendant, and Ca...
  • more photos: Egyptian President Abdel Fattah El-Sisi's visit to Tanzania
     The plane carrying  Egyptian President Abdel Fattah El-Sisi   touches down at the Julius Nyerere International Airport (JNIA) in Dar es ...
  • BOYZ II MEN PUT 'ONE UP FOR LOVE' -- WATCH-The Boombox
    AP Celebrating the 20th anniversary of their debut album 'Cooleyhighharmony,'  Boyz II Men released their new album 'Twenty...
  • KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KUFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA UASKARI MAGEREZA, KIWIRA MKOANI MBEYA
    Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira(pichani Askari Wanafunzi wa Mafunzo ya Awali ya U...
  • SHEREHE YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI NEW YORK
     Jumuiya ya Watanzania wa New York (ikijumuisha New Jersey, Connecticut na Pennsylvania) itafanya sherehe ya kusherehekea miaka 50 ...
  • MARY MWAKIBETE WA ITV, ASHINDA TUZO YA MTANGAZAJI BORA WA KIKE 2026
    Mwanahabari wa ITV na Capital Radio, Mary Mwakibete. NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mheshimiwa Mary...
  • SOLOMON YESU HAWALA
       Baada ya kutoroka kwao Namibia (ikiitwa South West Africa) kwa njia za panya hadi Botswana, aliendelea na safari hadi Zambia. Akiwa Zambi...
  • TAMBUA HISTORIA YA DIAMOND PLATNUMZ WA MWAKA 2005 NA WA SASAHIVI....! CHEKI HAPA
    MWAKA 2005 nilikuwa nikipanda daladala na Naseeb Abdul (Diamond) katika kituo cha Shule Tandale Magharibi jijini Dar es Salaam. Wak...
  • DIVA KATIKA MAHOJIANO MAKALI: "SUALA NI DNA. SHEIKH WALID AMECHAGUA KUKAA KIMYA KWA HESHIMA"
    Mtangazaji Diva amezungumza hadharani kuhusu mahojiano yake na Bella, akidai amejaribu kusikiliza pande zote mbili katika sakata linalomhusi...

LIVE TRAFFIC FEED

© 2015 Vijimambo - All Rights Reserved
Powered by Blogger.

HIT COUNTER BY GOOGLE