Wednesday, December 30, 2015

SPIKA WA BUNGE, JOB NDUGAI AMEREJEA LEO KUTOKA INDIA

SPIKA WA BUNGE, JOB NDUGAI AMEREJEA LEO KUTOKA INDIA ALIKOKUWA KWA AJILI YA MATIBABU. AWASHUKURU WATANZANIA KWA MAOMBI YAO. AELEZEA HALI YAKE KUWA NI IMARA KABISA.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu.
  Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Naibu Waziri wa Nishai na Madini Mhe. Medard Kalemani mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambula na aliyeko kulia ni Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah 

 Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah akifafanua jambo kwa Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai mara baada ya kumpokea katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu. Katikati ni Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson.

3 comments:

Anonymous said...

Hivi mpaka leo hii wengine bado wanakwenda India kupata "check up" na kutibiwa, mbali na kukusanya perdiem rates zao? Kwa nini tusifie TZ tu; tunakufa as humans, after all?

Anonymous said...

Hongera mama kwa kuwa mrefu!

Anonymous said...

JOB NDUGAI NI SPIKA KATILI KULIKO MASPIKA WOTE DUNIANI KWENYE UTAWALA WA DEMOKRASI.ALIAMURU POLISI WENYE SILAHA ZA KIVITA KUINGIA BUNGENI KUWASHAMBULIA WABUNGE WASIO WA CHAMA CHAKE.HALAFU HUKO KWAO ALIMPIGA MGOMBEA MWENZIE FIMBO AKAZIMIA.NI MTU MBAYA SANA SANA,HITLER.