ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, December 20, 2015

NEW YORK TANZANIA COMMUNITY WAJIPANGA NA UCHAGUZI WA KUPATA VIONGOZI JANUARY 2016


Kikao kikiendelea na watu walitangaziwa kuwa siku ya uchaguzi itatangazwa na taratibu zote juu ya nini kinaitajika kufatwa ilikufanikisha uchaguzi huo utaofanyika muda wowote kuanzia January.
Mussa akichanganua jambo mkutanoni hapo
 Mweka azina wa NYTC Rafael Faida.

Katibu wa NYTC Dr Mariam na Mweka azina Dr Temba. Kwa picha zaidi Tembelea http://tembaphoto.com/


No comments: