ANGALIA LIVE NEWS

Friday, February 19, 2016

KUNA VITU VINGINE TANZANIA VINASHANGAZA SANA! WEBSITE YA NECTA INAWEZA FUNGIWA KWA KUSHINDWA LIPIA DENI?

Hii ni leo February 19, 2016. Inawezekana website ya baraza la mitihani la taifa la Tanzania yafungiwa kwa kushindwa lipa deni. Ni Aibu na vijimambo haijawahi ona kitu kama hiki! 


2 comments:

Anonymous said...

Browser yako ndo mbovu...Necta iko safi tu

Anonymous said...

Kweli imefungwa inaelekea hawajui umuhimu wa kuwa na website