Advertisements

Thursday, February 11, 2016

NAIBU WAZIRI MHE LUHAGA MPINA ATEMBELEA UJENZI WA MTARO UWANJA WA MNAZI MMOJA NA KUTEMBELEA JANGOMBE ENEO ILIKOZAMA NYUMBA

Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akitembelea Ujenzi wa Mradi wa Mtaro katika Uwanja wa Mpira Mnazi Mmoja akiwa katika ziara zake Zanzibar kutembelea Miradi ya Mazingira inayosimamiwa na Muungano akiwa na Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania Mhe Hamad Yussuf Masauni. 
Kijiko cha Kampuni ya Ujenzi Mtaro huo kikiwa kazini katika uchimbaji wa mtaro huo nyambu ya pili pwani ya kizingo Zanzibar. 
Makalbi ya mtaro wa kupitishia maji kutoka katika viwanja vya mpira mnazi mmoja yakitandikwa, na kulia ni mabomba ya mtaro huo ya zamani yaliokuwa yakitoa huduma hiyo ya kupitisha maji kutoka katika uwanja huo. 
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe.Luhaga Mpina akiangalia ujenzi huo wakati wa ziara yake kutembelea miradi huo. 
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe.Luhaga Mpina akiangalia ujenzi huo wakati wa ziara yake kutembelea miradi huo. 


Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akimsikiliza Mhandisi wa Baraza la Manispa Zanzibar Ndg Mzee Khamis Juma akitowa maelezo ya kitaalumu ya Ujenzi wa Mtaro wa maji machafu wakati wa mvua kunyesha   



Mhandisi wa Baraza la Manispa Zanzibar Mzee Khamis Juma akizungumza wakati wa ziara ya Mhe Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina wakati alipofika kutembelea mradi wa ujunzi huo katika uwanja wa mnazi mmoja Zanzibar, kuondosha tatizo wa maji katika uwanja huo unaokuwa kero kutumika kwa kiwanja hicho kipindi cha mvua na kuingia maji ya bahari. 
Mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa maji katika uwanja wa mpira wa mnazi mmoja unaoendelea na ujenzi wa mtaro huo.
Mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa maji katika uwanja wa mpira wa mnazi mmoja unaoendelea na ujenzi wa mtaro huo.
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe.Luhaga Mpina akizungumza wakati alipofika katika mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa Maji katika Viwanja vya Mnazi Mmoja akiwa katika ziara yake kisiwani Zanzibar. na kumalizia Kisiwani Pemba kutembelea Miradi ya Mazingira kisiwani humo. 
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe.Luhaga Mpina akizungumza wakati alipofika katika mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa Maji katika Viwanja vya Mnazi Mmoja akiwa katika ziara yake kisiwani Zanzibar. na kumalizia Kisiwani Pemba kutembelea Miradi ya Mazingira kisiwani humo. 
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akiwa katika ziara yake kutembelea Jimbo la Jangombe kujionea athari za mazingira inazozikabili Jimbo hilo kwa kutokea kwa kuzama kwa nyumba katika mwaka 1998 na baadhi ya nyumba nyengine kupata athari.
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akiwa katika ziara yake kutembelea Jimbo la Jangombe kujionea athari za mazingira inazozikabili Jimbo hilo kwa kutokea kwa kuzama kwa nyumba katika mwaka 1998 na baadhi ya nyumba nyengine kupata athari.
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akiwa katika ziara yake kutembelea Jimbo la Jangombe kujionea athari za mazingira inazozikabili Jimbo hilo kwa kutokea kwa kuzama kwa nyumba katika mwaka 1998 na baadhi ya nyumba nyengine kupata athari.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akiwa katika ziara yake Jimbo la Jangombe Zanzibar.kushoto Meya wa Baraza la Manispa Zanzibar Mhe. Khatib Abdurahan Khatib na Mkurugenzi  Mazingira Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Ndg Juma Bakari Alawi.
Sheha wa Shehia ya Jangombe Ndg Khamis Ahmada Salum akitowa maelezo kwa Mhe Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe Luhaga Mpina wakati wa ziara yake katika Jimbo hilo.
Mhe Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akisalimiana na Wazee wa Jimbo la Jangombe wakati wa ziara yake katika Jimbo hilo akiwa Zanzibar. 
Eneo lilikozama Nyumba katika mtaa wa Jangombe Mshelishelini mwaka 1998 ambapo amefika Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina wakati wa ziara yake Zanzibar kutembelea Miradi ya Mazingira na ya Muungano ilioko Zanzibar.,
Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akiwa katika eneo iklikoza nyumba hiyo Jangombe wakati wa ziara yake Zanzibar.
Mwananchi wa Jangombe Nyumba yao ilididimika katika eneo hilo wakati wa Mvua za masika katika mwaka 1998 Ndg Salum Ibrahim Mgaza akitowa ushuhuda wa kuzama kwa nyumba yao kwa Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira wakati wa ziara yake katika jimbo hilo na kufika katika eneo hilo ilikozama nyumba hiyo katika mwaka 1998 na kubaki kiwanja hadi sasa. 




Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akimsikiliza Sheha wa Jangombe wakati wa ziara yake katika Jimbo hilo kuangaria athari za Mazingira zinazolikabili Jimbo hilo akiwa katika eneo lililotokea shimo wakati wa mvua za mashika na kuleta athari katika eneo hilo.  




Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akimsikiliza Sheha wa Jangombe wakati wa ziara yake katika Jimbo hilo kuangaria athari za Mazingira zinazolikabili Jimbo hilo akiwa katika eneo lililotokea shimo wakati wa mvua za mashika na kuleta athari katika eneo hilo.  
Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Ndg Juma Bakari Alawi akitowa maelezo kuhusiana na hali ya Mazingira katika eneo la Jangombe ambolo linakumbwa na ujaaji wa maji ya mvua na kujitokeza kudidimia kwa ardhi ya eneo hilo, wakati wa Ziara ya Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina, katika Jimbo la Jangombe kuangalia Miradi ya Maendeleo inayosimamiwa na Muungano Zanzibar.
Imetayarishwa na OthmanMapara.Blogspot.
Zanzinews.com

No comments: