ANGALIA LIVE NEWS

Monday, March 21, 2016

BABU TALE AMKABIDHI ZAWADI YA GARI SHEMEJI YAKE

Meneja wa Diamond Hamis Taletale (Babu Tale), amekabidhi gari aina ya Noah kwa shemeji yake, ambae ni mke wa kaka yake ikiwa ni sehemu ya kutoa pongezi zake kwa shemeji yake huyo kwa kuweza kudumu kwenye ndoa kwa kipindi cha miaka 11.

Tale ameamua kutoa gari hiyo kama zawadi kufuatia uvumilivu wa shemeji yake huyo kwenye malezi ya familia bila kujali changamoto anazokutana nazo hali inayomtafsiri kuwa ni miongoni mwa wanawake wachache kwenye maisha ya sasa wenye uwezo wa kuhimili changamoto wanazopitia na kuhakikisha familia haiyumbi.
Babu Tale akikabidhi funguo za gari kwa Mama Hakam
Mama Hakam akipatiwa maelekezo
Mama Hakam akiwa kwenye gari mara baada ya kukabidhiwa
Muonekeano wan je wa gari hiyo

No comments: