ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, March 26, 2016

KISOMO CHA BABA YAKE MKUBWA MH. MWENYEKITI WA CCM-NY (Seif Akida)

Familia ya mwenyekiti wa CCM-NY inapenda kuwakaribisha watanzania wote kwenye kisomo cha marehemu mpendwa baba yao mkubwa kitakachofanyika Jumamosi hii (3/26/16) kuanzia saa kumi na moja jioni (5:00PM). Mahali kisomo kitakapo fanyika ni 

2505 Third avenue, Bronx, NY 10451. 

Tafadhali jisikie huru kifika na kitu chochote kile utakachojaaliwa. Natanguliza shukrani nyingi kwenu nyote.


Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana NA


SEIF AKIDA-917-557-3195
SALIMU AKIDA-646-807-5838
GASTON MKAPA-646-358-2367


IMETOLEWA 
GASTON MKAPA
KATIBU ITIKADI NA UENEZI
CCM-NY

1 comment:

Anonymous said...

mmekosea sana tena sana kusema kisomo cha ccm.wenginewe sisi si ccm lakini tulikwenda kuhudhoriya pale kama dini,mila, silka, hulka na desturi zetu zinavyotuamrisha.hatuna uchama.

kuweni wastaarabu.tumekwenda kwa ajili ya jamaa yetu,mwezetu, rafiki yetu,na si kwa ajili ya chama.

hakuna maziko ya chama kuna maziko ya dini na kuzikwa na kusomewa kwa dini ya muhusika. kwa jinsi tulivyo shikana kwa upendo hata kama si dini yako tunajumuika pamoja bila kubaguana ili kumuunga mkono mwenzetu.sote kitu kimoja tusibaguane kwa kichama.