ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, April 19, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI AMUAPISHA MATHIAS MEINRAD CHIKAWE KUWA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI JAPAN

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mathias Meinrad Chikawe kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Japan, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. Magufuli akimpongeza Mathias Meinrad Chikawe mara baada ya kumuapisha kuwa  Balozi Mpya wa Tanzania nchini Japan.

Balozi mpya wa Tanzania nchini Japan Mathias Chikawe akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kuamuapisha Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi mpya wa Tanzania nchini Japan Mathias Chikawe pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU

1 comment:

Anonymous said...

kweli mungu kamuona mja wake. Mzee kwa mimi ninavyo kujua kweli tumepata mtu mahana mzee mtango alituvuruga na kuuvunja umojawetu . Nahamini mzee wetu chikawe utatuhunganganisha vijana wako kwa raha na matatizo . Mi binafsi kiongozi wetu kipenzi chetu raisi wetu akija japani ntamwambia jinsi wanavyo tufanyia