Saturday, May 7, 2016

WATU HAWA WANATAFUTA NDUGU ZAO WAMELAZWA HOSPITALI YA MUHIMBILI

Ndugu Ally Said (40) amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya matibabu anatafuta ndugu zake ambao amepotezana nao . Kwa yoyote atakayemtambua afike Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Uhusiano.
Mwenye picha hapo juu ambaye jina lake halijafahamika amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya matibabu, anatafuta ndugu zake ambao amepotezana nao .Kwa yoyote atakayemtambua binti huyu afike Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Uhusiano.

No comments: