Advertisements

Saturday, June 18, 2016

POLISI WATAWANYA MAHAFALI YA WANAFUNZI WA CHADEMA WA VYUO VIKUU VYA DODOMA

 Jeshi la Polisi mkoani Dodoma leo limewatawanya wanafunzi ambao ni wafuasi wa Chama cha Chadema wanaosoma vyuo vikuu mkoani humo walikuwa wakishiriki hafla ya mahafali katika Hotel ya African Dream.

Katika hafla hiyo mgeni rasmi alitalajiwa kuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ambapo baadhi ya wanafunzi walikamatwa baada ya kuwambiwa watawanyike na kurudi majumbani kwao.

CHANZO: MWANANCHI

No comments: