Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mhandisi Hamad Masauni, akionyesha Kitabu, DVD na CD zenye ujumbe wa “TUNZA
AMANI IKUTUNZE”, wakati wa uzinduzi wa mkakati huo wenye lengo la kudumisha
amani ulioratibiwa na Shirika la Kukuza Amani na Uchumi Tanzania(PSEDO) , Kulia
ni Mkurugenzi wa shirika hilo, Askofu Nason Ngoy Ngoy. Hafla hiyo imefanyika leo katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa
Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mhandisi Hamad Masauni akizungumza mara baada ya uzinduzi wa Kitabu, DVD na CD zenye ujumbe wa “TUNZA
AMANI IKUTUNZE”, wakati wa uzinduzi wa mkakati huo wenye lengo la kudumisha
amani ulioratibiwa na Shirika la Kukuza Amani na Uchumi Tanzania(PSEDO). Hafla
hiyo imefanyika leo katika Ukumbi wa
Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za
Binadamu(LHRC), Dk. Hellen Kijo Bisimba akizungumza mara baada ya uzinduzi
wa Kitabu, DVD na CD zenye ujumbe wa “TUNZA
AMANI IKUTUNZE”, wakati wa uzinduzi wa mkakati huo wenye lengo la kudumisha
amani ulioratibiwa na Shirika la Kukuza Amani na Uchumi Tanzania (PSEDO). Hafla
hiyo imefanyika leo katika Ukumbi wa
Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Shirika la Kukuza Amani na Uchumi
Tanzania (PSEDO). Askofu Nason Ngoy
Ngoy, akizungumza wakati wa uzinduzi wa
Kitabu, DVD na CD zenye ujumbe wa “TUNZA AMANI IKUTUNZE. Hafla hiyo
imefanyika leo katika Ukumbi wa
Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akizungumza na Naibu Katibu
Mkuu wa Chama cha UDP, Goodluck Ole Medeye, mara baada ya kumaliza uzinduzi wa Kitabu, DVD na CD zenye ujumbe wa
“TUNZA AMANI IKUTUNZE”.Hafla hiyo imefanyika
leo katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,
jijini Dar es salaam.(Picha zote na
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
No comments:
Post a Comment