Advertisements

Friday, September 30, 2016

DC MWILAPWA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA MAJI KUHUSU MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

Mkuu wa wilaya ya Tangaa,Thobias Mwilapwa akifungua mkutano wa akifungua mkutano wa wadau kuhusu mkataba wa huduma kwa mteja iliyoandaliwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) uliofanyika kwenye ukumbi wa Veta Jijini Tanga kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi na kulia ni Afisa Tarafa ,Suleiman Zumo anayefuatia ni Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji hiyo,Haika Ndalama 
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Mhandisi Zena Saidi akizungumza wakati wa kikao hicho kulia ni Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa akimsikiliza kwa umakini 
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa),Haika Ndalama akzingumza wakati wa kikao hicho cha wadau 
Wananchi wa Jiji la Tanga wakiongozwa na madiwani wao waki fuatilia kikao hicho kwa umakini mkubwa katikati ni Naibu Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga ,Mohamed Haniu
Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga,Mustapha Selebosi akiuliza swali kwenye mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Veta mjini hapa 
Diwani wa Kata ya Msambweni (CUF)Abdurahamani Hassani akiuliza swali kwenye mkutano huo
Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa)Dorah Ilo kulia aakiteta jambo na Afisa Tarafa Suleimani Zumo wakati wa kikao hicho cha wadau
Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa)Dorah Ilo akifuatilia hoja mbalimbali zilizokuwa zikijiri kwenye kikao hicho 
Kushoto ni Maafisa wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini na wananachi wakifuatilia kikao hicho wa kwanza kushoto ni Meneja wa Huduma kwa Mteja wa Mamlaka hiyo,Mohamed Pima 
Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa akisaliana na Afisa Tarafa,Suleiman Zumo kabla ya kufungua mkutano huo katikati ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi 
Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa kushoto akisalimiana na Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga (CCM)Mustapa Selabosi kabla ya kuanza kikao hicho katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (Tanga Uwasa)Haika Ndalama 
Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa kushoto akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua kikao hicho 

Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha.

No comments: